Social Icons

Monday 10 October 2016

UBA BANK WAFANYA BONANZA LA TATU CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM

Kwa wanavyuo wote watanzania popote Duniani Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255629914471. insta : @matukionawanavyuo Tumieni mtandao huu ni wenu nyote. 

 Baadhi ya wafanyakazi wa UBA Bank wakiwa katika Mazoezi ya viuongo
 Baadhi ya wafanyakazi wa UBA Bank wakiwa katika mbio za pole
 Baadhi ya wafanyakazi wa UBA Bank wakiwa katikamchezo wa kuvuta kamba katika bonanza la robo tatu ya mwaka
 Baadhi ya wafanyakazi wa UBA Bank wakiwa katika mchezo wa mpira wa miguu katika Tamasha lao la robo tatu ya Mwaka chuo kikuu cha Dar es Salaam
 Baadhi ya Wafanyakazi wa UBA Bank wakiwa katika mchezo wa mbio za magunia

Wafanyakazi wa Bank ya UBA wanao zaliwa mwezi october wakikata keki kwa ajili kusheherekea siku yao ya Kuzaliwa

No comments: