Kwa wanavyuo wote watanzania popote Duniani Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. insta : @matukionawanavyuo Tumieni mtandao huu ni wenu nyote. 
Kaimu
 Katibu wa Idara ya Vyuo na Vyuo Vikuu Ndugu Daniel Zenda akikabidhi  
kadi 1500 za wanachama wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM)
 kwa Katibu wa Hamasa Seneti ya mkoa wa Dar es Salaam Ndugu Juakali 
Kuwanya katika hafla iliyofanyika leo Makao Makuu ya UVCCM, Upanga  
jijini Dar es Salaam.
Zenda amesema, kadi hizo amezikabidhi ili zigawiwe kwa wananchama 
wapya ambao wamekuwa wakijiunga kwa wingi katika Chama Cha Mapinduzi na 
Jumuiya zake, kutokana na mwamko mkubwa wa wanafunzi wa Vyuo Vikuu 
kuunga mkono CCM kutokana na kuvutiwa na Utendaji kazi  wa Rais John 
Magufuli na Serikali yake ya awamu ya tano
Imetolewa na 
Uvccm Seneti Mkoa Dsm.
 

 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment