Baadhi ya wageni waalikwa wakiwa makini kumsikiliza mgeni rasmi |
Mgeni rasmi Mkurugenzi msaidizi Wizara ya Sayansi na Teknolojia idara ya sayansi na ubunifu Dr. Magreth Komba akiongea na wageni waalikwa katika uzinduzi huo |
Naibu kaimu makamu mkuu wa
chuo na taaluma
Dkt Mbonde akimkaribisha mgeni rasmi
|
Albertina Leonard Mwenyekiti WITTED na mkufunzi idara ya sayansi na biashara akisoma taarifa fupi ya mpango wa kuwahamasisha wanawake kusomea fani ya sayansi na Teknolojia |
Mtungwa William mkuu wa idara ya mitihani na pia kaimu mkuu wa idara ya FSD MUST |
Hapa wanawake wakifurahia uzinduzi |
Tedy Mkwawa mwanafunzi mwaka wa tatu Diploma uhandisi umeme akimwelezea mgeni rasmi jinzi umeme unavyofanya kazi katika nyumba |
Picha zaidi Bofya hapa>>>>> |
No comments:
Post a Comment