Social Icons

Monday, 12 May 2014

TAZAMA MAHAFALI YA 11 CHUO KIKUU HURIA MANYARA

Kwa wanavyuo wote watanzania popote Duniani Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. Tumieni mtandao huu ni wenu nyote. 
 Baadhi ya wahitimu 70 wa mahafali ya 11 ya Chuo kikuu huria cha Mkoani Manyara, wakishiriki mahafali hayo juzi kwenye uwanja wa kwaraa mjini Babati.
 Baadhi ya wahitimu 70 wa mahafali ya 11 ya Chuo kikuu huria cha Mkoani Manyara, wakishiriki mahafali hayo juzi kwenye uwanja wa kwaraa mjini Babati.
 Wapuliza tarumbeta wa shule ya sekondari Madunga Wilayani Babati wakiwa kwenye mahafali ya 11 ya Chuo kikuu huria cha Mkoani Manyara, juzi kwenye uwanja wa kwaraa mjini Babati.
Picha ya pamoja katika  mahafali ya 11 ya Chuo kikuu huria cha Mkoani Manyara, juzi kwenye uwanja wa kwaraa mjini Babati.
Hali ilivyokuwa juzi kwenye uwanja wa Kwaraa mjini Babati Mkoani Manyara, ambapo wahitimu 70 wa walishiriki mahafali ya 11 ya Chuo kikuu huria cha Mkoani Manyara.
Picha na Michuzi Blog

No comments: