Social Icons

Tuesday 8 April 2014

NYALANDU AAHIDI NEEMA MUSOMA UTALII TABORA.

Na Hastin Liumba,Tabora
 

WAZIRI wa maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu ameakiahidi chuo cha
Musoma Utalii kilichpo mkoani Tabora ataleta watalaamu wa mafunzo ya
utalii na uzuiaji majangili.
 
Ahadi hiyo aliitoa kwenye mahafali ya kumi ya chuo hicho,pia baada ya
uzinduzi wa chuo hicho kilichopo Ipuli manispaa Tabora.
 
Nyalandu alisema ipo haja ya kuleta watalaam hao chuoni hapo ili
mafunzo yatakayotolewa yawe chachu kwa siku zijazo katika vita ya
ujangili nchini.
 
ZAIDI BOFYA HAPA>> 

No comments: