skip to main |
skip to sidebar
ZANZIBAR KUANZISHA CHUO CHA MAFUNZO YA AMALI KWA WANAWAKE KWA KUSHIRIKIANA NA CHUO CHA BAREFOOT CHA INDIA
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein
akipokea zawadi mara alipowasili katika Chuo cha Mafunzo ya Amali
kiitwacho Tilonia, Wilaya ya Ajmer Jimbo la Rajastan akiwa katika siku
ya pili ya ziara yake nchni India pamoja na ujumbe aliofuatana nao.
No comments:
Post a Comment