Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Jordan Rugimbana
(kushoto) akiwa pamoja na Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni, Camilius
Wambura wakikagua uharibufu uliofanywa na wanafunzi wa Shule ya sekondari ya St. Anne
Marie iliyopo Mbezi jijini Dar es Salaam leo.
Mabasi ya shule na magari mengine yapatayo 17 yamevinjwa vioo na kuharibiwa vibaya.(Picha na Father Kidevu Blog)
No comments:
Post a Comment