Makamu mwenyekiti wa Chuo cha usimamizi wa fedha (IFM) Bw. Kasmiri Nyoni akizungumza kuhusu utanuzi wa chuo cha usimamizi wa fedha ambacho kinakaribia kuanza kujengwa Msata wilaya ya Bagamoyo Pwani kitakuwa na uwezo wa kuchukua wanafunzi wapatao 30,000 . kulia kwa makamu wa chuo ni Mkuu wa chuo cha IFM Profesa Godwin Mjema na kushoto ni Mkurugenzi mtendaji wa Kituo kinachotoa elimu kwa njia ya mtandao nchini Tanzania Charles Senkondo
Pichani ni uongozi wa chuo cha IFM kilipotembelea eneo kitakapo jengwa chuo hicho msata wilaya Bagamoyo Mkoa wa Pwani.
(Picha na Chris Mfinanga).
No comments:
Post a Comment