Kwa wanavyuo wote watanzania popote Duniani Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. Tumieni mtandao huu ni wenu nyote.
Afisa
Udahili Yahya Mhando akitoa maelekezo kwa watu waliotembelea katika
banda la Chuo cha Waislam-Morogoro katika maonyesho ya wiki ya maonyesho
ya vyuo vikuu yanayofanyika viwanja vya Mwalimu Nyerere maarufu kama
Sabasaba jijini Dar es Salaam.
Mkufunzi
wa chuo cha Waislam Morogoro wa Lugha ya Kichina katika chuo cha
Waislamu Morogoro, Sun Xiaofei akitoa maelekezo kwa wanafunzi wa shule
ya Sekondari Pugu walipotembelea katika maonesho ya wiki ya vyuo vikuu yanayofanyika viwanja vya Mwalimu Nyerere maarufu kama Sabasaba jijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment