Social Icons

Sunday 8 March 2015

CHUO CHA UTAWALA WA UMMA ZANZIBAR CHAFANYA MAHAFALI YA SABA.



  Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimpa zawadi maalum mwanafunzi Ali Hemed Ali.
 Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimkabidhi zawadi iliyotolewa na wanafunzi wa Mahusiano ya Kimataifa Mwalim Fakih Kombo Faki katika sherehe za mahafali ya saba ya Chuo cha Utawala wa Umma Zanzibar.
 Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwahutubia wahitimu wa kada tofauti wa Chuo cha Utawala wa Umma Zanzibar. Sherehe hiyo imefanyika Tunguu Wilaya ya kati Unguja.

Kwa wanavyuo wote watanzania popote Duniani Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. Tumieni mtandao huu ni wenu nyote.

No comments: