Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Katibu Mkuu wa CCM Abrahman Kinana
wakati akiwasili katika ufunguzi wa Kongamano la Kimataifa kuhusu Mitaala kwa
Vyuo vya Kiislam lililozinduliwa juzi Agosti 09, 2014 katika chuo Kikuu cha
Kiislam Morogoro. Katikati ni Ramadhan Dau Mkurugenzi wa NSSF
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisoma hotuba yake
wakati akiwasili wa ufunguzi wa Kongamano la Kimataifa kuhusu Mitaala
kwa Vyuo vya Kiislam lililozinduliwa juzi Agosti 09, 2014 katika chuo Kikuu cha
Kiislam Morogoro. Katikati ni Ramadhan Dau Mkurugenzi wa NSSF.
No comments:
Post a Comment