Social Icons

Tuesday, 24 June 2014

MAHAFALI YA WAHITIMU WA UHIFADHI WA WANYAMAPORI JIJINI MWANZA

Kwa wanavyuo wote watanzania popote Duniani Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. Tumieni mtandao huu ni wenu nyote. 

  Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akizindua maabara ya kompyuta katika  chuo cha Taasisi ya Taaluma ya wanyamapori Pasiansi Mwanza wakati wa mahafali ya 49 ya chuo hicho. Kulia ni Balozi wa Marekani Mark Childless.

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu na Balozi wa Marekani Mark Childless wakikagua gwaride la heshima la wahitimu wa chuo hicho.

Wahitimu wakionesha utaalamu wa Karate.

KUONA ZAIDI NA BURUDANI ZAIDI BOFYA HAPA>>

No comments: