Meneja
Rasilimali Watu wa Benki ya Barclays Tanzania, Anna Chacha (kulia)
akizungumza na baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Biashara ya Chuo Kikuu
cha Dar es Salaam (UDBS) jana kuhusu fursa mbalimbali za ajira ndani ya
benki hiyo na pia nini wafanye ili kuweza kumudu ushindani katika soko
la ajira ndani ya sekta za kibenki.
Mkuu
wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Barclays Tanzania, Neema-Rose
Singo (kushoto) akizungumza na baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Biashara
ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDBS) jana kuhusu fursa mbalimbali za
ajira ndani ya benki hiyo na pia nini wafanye ili kuweza kumudu
ushindani katika soko la ajira ndani ya sekta za kibenki.
Mkuu
wa Kitengo cha Biashara wa Benki ya Barclays Tanzania, James Meitaron
(kulia) akizungumza na baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Biashara ya Chuo
Kikuu cha Dar es Salaam (UDBS) jana.
Baadhi
ya wanafunzi wa Shule ya Biashara ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
(UDBS) wakishiriki semina kuhusu fursa mbalimbali za ajira
iliyoandaliwa na Benki ya Barclays Tanzania chuoni hapo, Dar es Salaam
jana. Mbali na fursa zilizo ndani ya benki hiyo pia walielekezwa nini
wafanye ili waweze kumudu ushindani katika soko la ajira ndani ya sekta
za kibenki.
Mmoja
wa wafanyakazi wa Benki ya Barclays Tanzania, Khalifa Gwando (kulia),
akipokea barua za wasifu (cv) kutoka kwa baadhi ya wanafunzi wa Shule ya
Biashara ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDBS) jana mara baada ya
semina kuhusu fursa mbalimbali za ajira ndani ya benki hiyo na pia nini
wafanye ili kuweza kumudu ushindani katika soko la ajira ndani ya sekta
za kibenki.
No comments:
Post a Comment