Ndugu wanavyuo na Taasisi mbalimbali za Elimu ukiwa na tukio lolote tutumie kupitia blogzamikoa@live.com
Mwalilishi wa PPF Kanda ya Kati Ndugu Julius S Shayo akimkaribisha Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Cha Dodoma Prof.Idrissa Kitila (kulia) wakati wa kufunga tamasha la michezo Boanza la wiki moja lililo kuwa limefadhiliwa na mfuko huo.
Pror.Idrissa Kikikagua kikosi cha timu ya Sayansi asilia na Hesabu.
Kikosi kamili cha timu ya Sayansi asilia na Hesabu(ndani ya jezi nyeupe) kikiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi.
Kikosi cha timu ya Sayansi Jamii kikiwa katika picha ya pamoja.
Kikosi cha Shule ya Sayansi ya mawasiliano na Elimu Angavu kikiwa katika jezi ya blue na mgeni rasimi.
Washindi wa pete kikosi cha Elimu. Picha na Deusdedit Moshi wa Globu ya Jamii Kanda ya Kati Dodoma.
*************
Makamu
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma UDOM,Prof.Idrissa Kitila mwishoni mwa
wiki alifunga BONANZA la michezo mbalimbali iliyofanyika chuoni hapo kwa
muda wa wiki moja.Michezo hiyo ilifadhiliwa na mfuko wa mafao ya Jamii
PPF ambapo ilikutanisha timu mbali mbali katika mpira wa pete na mguu.
Timu
zilizoshiriki zilikuwa nane,timu kutoka School saba na timu kutoka
Utawala moja.Pamoja na mpira wa Pete na Miguu kulikuwepo mashindano ya
kuvuta kamba na kukimbiza kuku,Katika siku ya kufunga mashindano hayo.
Mfuko
wa hifadhi ya jamii PPFwaliwakilishwa na Bwana Julius S.Shayo
mwakilishi wa kanda ya kati. Katika bonanza hilo ambalo pamoja na
kufadhili walitoa mbali mbali ikiwamo vikombe kwa washindi pamoja na
fedha taslimu.
Washindi
katika Mpira wa miguu amao fainali zilikutana timu kutoka
Shule(School)ya Sayansi Asilia na Hesabu na Chuo cha Sayansi Jamii
washindi walikuwa Sayansi Asilia ambao walivalia Jezi nyeupe walipata
ushindi wa goli sita kwa goli tano.
Kwa
upande wa Mpira wa Pete Ulio kutanisha timu za Shule(School) Elimu na
Shule Sayansi Jamii na Elimu Angavu Washindi walikuwa Shule ya Elimu kwa
jumla ya vikapu 26 kwa 16.
No comments:
Post a Comment