Social Icons

Wednesday, 21 May 2014

BREAKING NEWS LIVE MUDA HUU: WANAFUNZI WA CHUO CHA KUMBUKUMBU YA STEFANO MOSHI(SMMUCO) WAFUNGA BARABARA WAKITAKA KULIPWA PESA ZAO ZA MKOPO

Kwa wanavyuo wote watanzania popote Duniani Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. Tumieni mtandao huu ni wenu nyote. 


 Wanafunzi wakiwa katika Makundi mbalimbali katika mgomo huo
 Mgomo ukiwa unaendelea huku wakidai pesa zao

 Wanafunzi wakiwa wamefunga Njia muda huu
Hapa wakiendelea na madai yao wakiwa ni wanafunzi wa Mwaka wa Kwanza wa Pili na Watatu
Endelea kufuatilia

Picha na Matukio na wanavyuo

No comments: