Social Icons

Tuesday 25 February 2014

Wananchama wa Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu, Sayansi, Teknolojia, Habari na Utafiti nchini (RAAWU), Tawi la Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) wakutana




Mwezeshaji Bwana Sebastian Ndahani Inoshi a.k.a Seba (Kushoto) akiwasilisha mada. Katikati ni Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa Raslimali Watu na Utawala Bi. Nuru Sovellan na Kulia ni Kaimu Mwenyekiti RAAWU Tawi la HESLB Bi. Octavia Selemani.
 Sehemu ya wanachama wa RAAWU tawi la HESLB wakifuatilia kwa makini mada zilizokuwa zinawasilishwa katika semina hiyo.
Sehemu ya wanachama wa RAAWU tawi la HESLB wakifuatilia kwa makini mada zilizokuwa zinawasilishwa katika semina hiyo.


No comments: