Social Icons

Monday 24 February 2014

Huu mfano wa kuigwa kwa wanafunzi wote: Mwanafaunzi atoa msaada kwa wanafunzi familia duni


Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Magesa Mulongo.
Mwanafunzi wa Shule ya Kimataifa ya Tangayika ya jijini Dar es Salaam, Ali  Jivraj,  ametoa msaada wa taa 200 zinazotumia nishati ya mwanga wa jua kwa wanafunzi waliotoka familia duni wa  kituo cha UAACC, kilichopo Embaseni, wilayani Arumeru, ili watumie kusomea ,uda wa saa za ziada.
ZAIDI SOMA HAPA>>>

No comments: