Social Icons

Monday 2 December 2013

MKUU WA MKOA WA MOROGORO MH, JOEL BENDERA NA NAIBU WAZIRI WA ARDHI,NYUMBA NA MAENDELEO YA KAZI DR.JOEL OLE MEDEYE WATUNUKIWA PhD ZA HESHIMA




Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera ( kushoto) akipongezwa na Makamu wa Rais na Mkurugenzi wa Mahusiano wa Masuala yote ya Afrika ya Kielimu ambaye pia ni Kamishina wa Tume ya Haki za Binadamu yenye kutetea matatizo ya Haki za Binadamu Kimataifa , Profesa Edward Lazaro Nasioki, ( kulia) mara baada ya kumtunukisha Shahada ya Uzamivu ya Heshima ( PhD) katika Masuala ya Falsafa ya Jamii ya Chuo Kikuu cha Califonia State Christian kilichopo nchini Marekani, kwa mamlaka aliyopewa na Bodi cha Chuo Kikuu hicho.


Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera akivishwa kofia ya udaktari wa Heshima .


Naibu Waziri wa Ardhi , Nyumba na Maendeleo ya Makazi,Dk Joel Goodluck Ole Medeye ( kushoto) akipongezwa na Makamu wa Rais na Mkurugenzi wa Mahusiano wa Masuala yote ya Afrika ya Kielimu ambaye pia ni Kamishina wa Tume ya Haki za Binadamu yenye kutetea matatizo ya Haki za Binadamu Kimataifa , Profesa Edward Lazaro Nasioki, ( kulia).kati kati kati ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Morogoro, Innocent Kalongeris.


Naibu Waziri wa Ardhi , Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Joel Goodluck Ole Medeye ( kushoto) , na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera ( kulia ) wakiwa katika picha ya pamoja na na Makamu wa Rais na Mkurugenzi wa Mahusiano wa Masuala yote ya Afrika ya Kielimu ambaye pia ni Kamishina wa Tume ya Haki za Binadamu yenye kutetea matatizo ya Haki za Binadamu Kimataifa , Profesa Edward Lazaro Nasioki, wa Chuo Kikuu cha Califonia State Christian kilichopo nchini Marekani, baada ya kuwatunukishaShahada ya Uzamivu ya Heshima ( PhD) katika Masuala ya Falsafa ya Jamii ,Novemba 30, mwaka huu kutokana na mamlaka aliyopewa na Bodi cha Chuo Kikuu hicho.Picha na John Nditi, Morogoro



Na John Nditi, Morogoro



MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera , na Naibu Waziri wa Ardhi , Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Joel Goodluck Ole Madeye , wametunukiwa Shahada ya Uzamivu ya Heshima katika Masuala ya Falsafa ya Jamii ya Chuo Kikuu cha Califonia State Christian kilichopo  nchini Marekani.



HABARI ZAIDI BOFYA HAPA>>>




No comments: