Social Icons

Friday 2 December 2011

TANZANIA FULL SCHOLARSHIP @ WESTMINSTER UNIVERSITY...!!!



Ndugu zangu watanzania, chuo cha Westminster kilichopo katikati ya jiji la london, UK, kila mwaka kinatoa scholarship kwa watanzania kusoma degree ya kwanza na ya pili bure (unalipiwa ndege kwenda london na kurudi Tanzania, maradhi, chakula, ada yote na kila mwezi hela ya matumizi). Tatizo hizi habari tukipata hatupeani, mwisho nafasi kama hizi zinafutwa chuoni maana hamna wanaoziomba. Mi nilifanikiwa kuipata kupitia rafiki yangu, nami nimekuwa naitangaza na ntaendelea. Hii nafasi itasaidia kubadilisha maendeleo ya watanzania na Maisha yao kiujumla. Link hiyo chini inamaelezo yoote. Deadline ni mwakani April, so kama upo interested, tumia mda huu kudownload form za kuomba chuo, ukipata chuo, then unaomba scholarship, maelezo yapo kwenye website yao www.westminster.ac.uk link ni http://2009.westminster.ac.uk/study/international/country-pages/africa/tanzania



Goodluck
UKIPATA UJUMBE HUU MWAMBIE NA MWENZAKO
kwa hisani ya Miss Jestina George Blog





No comments: