Social Icons

Thursday 19 November 2015

MAHAFALI YA 45 YA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM‏

Kwa wanavyuo wote watanzania popote Duniani Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. Tumieni mtandao huu ni wenu nyote. 

 Brass Band ikiongoza msafara wa maandamano ya Mahafali ya 45 ya chuo Kikuu cha Dar es Salaam, (PICHA NA KHAMISI MUSSA)
 Maprofesa na Wahadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam wakiwa katika Maandamano ya Mahafali ya 45 ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, wakwanza kushoto ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Profesa Lawrence Museru.
 Wananchi wakipata matukio wakati msafara wa Maandamano ya wahitimu walipokuwa wakipita mbele yao.

No comments: