Social Icons

Friday 17 July 2015

Shirikisho la vyuo vya elimu ya juu Taifa (MNEC) vyapongeza uteuzi wa wagombea kuelekea uchaguzi Mkuu‏

Kwa wanavyuo wote watanzania popote Duniani Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. Tumieni mtandao huu ni wenu nyote.
Mwenyekiti wa Shirikisho la vyuo vya Elimu ya Juu Taifa (MNEC) Bi. Zainab Abdalah Issa akiongea na waandishi wa habari(Hawapo Pichani) na kutoa tamko la kuwapongeza wajumbe wote wa vikao vya maamuzi ndani ya chama cha mapinduzi (CCM) kwa kutenda haki katika uteuzi wa wagombea watakaowakilisha chama hicho katika uchaguzi mkuu baadae mwezi kumi, wakati wa mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Shirikisho hilo Bw. Hamid Saleh Mhina.

 Baadhi ya waandishi wa Habari wakimsikiliza Mwenyekiti wa Shirikisho la vyuo vya Elimu ya Juu Taifa (MNEC) Bi. Zainab Abdalah Issa wakati wa mkutano huo

Picha na Hassan Silayo

No comments: