Social Icons

Monday 8 June 2015

HATARI: MABOMU YATAWALA CHUO CHA KAMPALA , BAADHI YA WANAFUNZI WAKAMATWA.

Kwa wanavyuo wote watanzania popote Duniani Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. Tumieni mtandao huu ni wenu nyote. 

Je unapenda Jua Tiba mbadala ya Magonjwa Sugu? piga simu +255752361305
Wanafunzi wa Chuo Kikuu Cha Kimataifa Cha Kampala (KIU) wakiwa katika maandamano leo katika chuo hicho baada ya Kitivo cha Famasia kushindwa kutambulika na mamlaka mbalimbali.
 Askari wa Polisi wakiwa katika gari na baadhi ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kampala (KIU) waliowakamata katika maandamano hayo.

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kimataifa Cha Kampala (KIU) leo wameandamana na katika chuo hicho kushinikiza warudishe fedha zao kutokana na kuanzisha kitivo ambacho hakitambuliki na mamlaka za nchi.

Mgomo huo umeanza majira ya saa tatu kwa baadhi wanafunzi kuwazuia wenzao wasiingie katika chumba cha mtihani na baada ya hapo wakaibuka na mabango kwenda katika ofisi za utawala wa chuo hicho.

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA>>>

No comments: