Social Icons

Friday, 6 June 2014

BREAKING NEWS: WANAFUNZI WA CHUO CHA USAFIRISHAJI CHA NIT WAFANYA VURUGU KUSHINIKIZA KUPEWA PESA ZAO ZA MKOPO

Kwa wanavyuo wote watanzania popote Duniani Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. Tumieni mtandao huu ni wenu nyote. 
 Gari la Polisi likiwa limefika eneo la Tukio kwa ajili ya usalama chuoni hapo
 Mmoja wa Mawaziri wa Serikali ya Wanafunzi akizungumza jambo
 Polisi wakiwa wakiwa wanaimarisha ulinzi
 Wanafunzi wakiwa wanapiga Makelele kushinikiza Kulipwa pesa zao
 Usalama umeimarishwa..

Endelea  kufuatilia tukio zima hapa hapa.....

No comments: