Kwa wanavyuo wote watanzania popote Duniani Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. Tumieni mtandao huu ni wenu nyote.
Gari la Polisi likiwa limefika eneo la Tukio kwa ajili ya usalama chuoni hapo
Mmoja wa Mawaziri wa Serikali ya Wanafunzi akizungumza jambo
Polisi wakiwa wakiwa wanaimarisha ulinzi
Wanafunzi wakiwa wanapiga Makelele kushinikiza Kulipwa pesa zao
Usalama umeimarishwa..
Endelea kufuatilia tukio zima hapa hapa.....
No comments:
Post a Comment