Social Icons

Wednesday, 28 May 2014

WANAFUNZI WA VYUO MBALIMBALI VYA DIPLOMASIA,CHUO KIKUU CHA MZUMBE PAMOJA NA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM WAHUZURIA KATIKA BUNGE LA BAJETI JANA DODOMA.

Kwa wanavyuo wote watanzania popote Duniani Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. Tumieni mtandao huu ni wenu nyote. 

 Wanafunzi kutoka Vyuo vikuu vya Mzumbe (MU) na Dar es Salaam (UDSM) wakifuatilia mijadala ya Bunge wakati wakijadili na kupitisha bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa

 Wanafunzi kutoka Chuo cha Diplomasia Dar es Salaam wakifuatilia mijadala ya Bunge wakati wakijadili na kupitisha bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa
 
 Wanafunzi kutoka Chuo cha Diplomasia Dar es Salaam wakifuatilia mijadala ya Bunge wakati wakijadili na kupitisha bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa
 
 
 Wanafunzi kutoa vyuo mbalimbali vya Diplomasia, Chuo Kikuu Mzumbe na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam walipiga picha na Waziri.

No comments: