Social Icons

Friday, 30 May 2014

BREAKING NEWS KATIKA PICHA : :MWANAFUNZI WA CHUO KIKUU DAR(UDSM)AFARIKI DUNIA GHAFLA AKIWA AMEPUMZIKA JIONI HII.

Kwa wanavyuo wote watanzania popote Duniani Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. Tumieni mtandao huu ni wenu nyote. 

 Marehemu  Sakabenga Enzi za Uhai wake kabla ya kukutwa na umauti leo akiwa amelala

 Hapa mwanafunzi huyo akiwa ameshafariki wakati akiwa amelala chumbani kwake Chuo Kikuu Dar es salaam

 Madaktari na wauguzi wakiuutoa mwili wa marehemu ndani ya jengo alipofariki akiwa amelala
 Mwili wa marehemu ukipakiwa kwa Gari la wagonjwa kwenda kuhifadhiwa



No comments: