
Mgeni rasmi Sarah Shibelea akifungua kongamano

Kaimu
Mkurugenzi wa VETA mkoa wa Dar es Salam Mrs.Bernadeta Ndunguru
akisisitiza jambo baada ya mgeni rasmi kumaliza kufungua kongamano

Msherehehaji wa Kongamano hili Bwana Mongele






Wakuu na wamiliki wa vyuo vya ufundi stadi kanda ya Dar es Salaam

Mgeni
rasmi Sarah Shibelea akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Wakuu na
wamiliki wa vyuo vya ufundi stadi kanda ya Dar es Salaam

Mgeni
rasmi Sarah Shibelea akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Wakuu na
wamiliki wa vyuo vya ufundi stadi kanda ya Dar es Salaam.
Kongamano la Wakuu na wamiliki wa vyuo vya ufundi stadi kanda ya Dar es Salaam inayolenga kupata maoni ya wadau juu ya utekelezaji wa mafunzo ya ufundi stadi lililoendeshwa na ofisi ya VETA Kanda ya Dar es Salaam.
Kongamano la Wakuu na wamiliki wa vyuo vya ufundi stadi kanda ya Dar es Salaam inayolenga kupata maoni ya wadau juu ya utekelezaji wa mafunzo ya ufundi stadi lililoendeshwa na ofisi ya VETA Kanda ya Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment