Social Icons

Sunday 23 February 2014

MATOKEO YA KIDATO CHA NNE SHULE ZENYEMAJINA YA VIONGOZI AIBU, YENYE JINA LA MKAPA YAFANYA VIZURI .

BOFYA HAPA KUTAZAMA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE

Rais Benjamini Willium Mkapa, ambaye ndiye pekee jina lake linatumika vyema kwa shule iliyobeba jina lake kufanya vyema.
 
Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne 2013 yalitangazwa juzi na Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Jijini Dar es Salaam. Blogu hii leo imepitia na kuangalia baadhi tu ya Shule za Sekondari ambazo zinamajina ya Viongozi wa Kuu wa Serikali, ama Wastaafu au waliopo madarakani. Lakini Matokeo hayo hayaendani kabisa na Majina hayo kutokana na vile zilivyofanya vibaya jambo ambalo ni aibu. 

Je ipo haja ya Viongozi hao kuhakikisha wanazisimamia shule hizo kwa ukaribu zaidi na kuhakikisha zinafanya vizuri ili kuepusha aibu iliyopo? au ziendelee hivi na viongozi hao wakijivunia kuwa jamii imewapa heshima ya Jina lake kutumika katika shule tu. Angalia baadhi ya matokeo ya shule hizo ambazo ni Benjamini Mkapa tu inaonesha walau kufanya vyema. 

S0960 BENJAMIN WILLIAM MKAPA HIGH SCHOOL
DIV-I = 45 DIV-II = 52 DIV-III = 56 DIV-IV = 92 DIV-0 = 65

S1930 J. M. KIKWETE SECONDARY SCHOOL
DIV-I = 2 DIV-II = 2 DIV-III = 13 DIV-IV = 54 DIV-0 = 43

S0817 PAUL BOMANI SECONDARY SCHOOL
DIV-I = 0 DIV-II = 1 DIV-III = 4 DIV-IV = 36 DIV-0 = 32

S0861 NELSON-MANDELA SECONDARY SCHOOL
DIV-I = 0 DIV-II = 0 DIV-III = 2 DIV-IV = 30 DIV-0 = 70


S0922 MWINYI SECONDARY SCHOOL
DIV-I = 0 DIV-II = 4 DIV-III = 11 DIV-IV = 21 DIV-0 = 41

S0985 MZINDAKAYA SECONDARY SCHOOL
DIV-I = 0 DIV-II = 1 DIV-III = 3 DIV-IV = 31 DIV-0 = 26

S1033 AMANI ABEID KARUME SECONDARY SCHOOL
DIV-I = 0 DIV-II = 0 DIV-III = 2 DIV-IV = 26 DIV-0 = 53

S0614 NYERERE SECONDARY SCHOOL
DIV-I = 1 DIV-II = 1 DIV-III = 9 DIV-IV = 54 DIV-0 = 64

S0716 MALECELA SECONDARY SCHOOL
DIV-I = 1 DIV-II = 6 DIV-III = 20 DIV-IV = 73 DIV-0 = 19

S0740 ALI HASSAN MWINYI ISL. SECONDARY SCHOOL
DIV-I = 0 DIV-II = 9 DIV-III = 35 DIV-IV = 101 DIV-0 = 103

S1038 J.K. NYERERE SECONDARY SCHOOL
DIV-I = 13 DIV-II = 35 DIV-III = 40 DIV-IV = 110 DIV-0 = 53

S1344 MWALIMU J K NYERERE SECONDARY SCHOOL
DIV-I = 3 DIV-II = 10 DIV-III = 19 DIV-IV = 47 DIV-0 = 54

S1728 RASHIDI MFAUME KAWAWA SECONDARY SCHOOL
DIV-I = 0 DIV-II = 1 DIV-III = 2 DIV-IV = 14 DIV-0 = 16

S1796 DR. DIDAS MASABURI SECONDARY SCHOOL
DIV-I = 1 DIV-II = 5 DIV-III = 22 DIV-IV = 26 DIV-0 = 2

S1806 YUSUF MAKAMBA SECONDARY SCHOOL
DIV-I = 0 DIV-II = 9 DIV-III = 33 DIV-IV = 92 DIV-0 = 112

S1803 LOWASSA SECONDARY SCHOOL
DIV-I = 2 DIV-II = 9 DIV-III = 25 DIV-IV = 72 DIV-0 = 71

S1812 ISDORE SHIRIMA SECONDARY SCHOOL
DIV-I = 0 DIV-II = 0 DIV-III = 0 DIV-IV = 7 DIV-0 = 20

S3561 SALMA KIKWETE SECONDARY SCHOOL
DIV-I = 6 DIV-II = 19 DIV-III = 24 DIV-IV = 91 DIV-0 = 77

S3725 FELIX MREMA SECONDARY SCHOOL
DIV-I = 2 DIV-II = 9 DIV-III = 36 DIV-IV = 93 DIV-0 = 77

S4029 WILLIAM LUKUVI SECONDARY SCHOOL
DIV-I = 0 DIV-II = 3 DIV-III = 3 DIV-IV = 21 DIV-0 = 8

S5068 JOEL BENDERA SECONDARY SCHOOL
DIV-I = 0 DIV-II = 0 DIV-III = 5 DIV-IV = 6 DIV-0 = 28
 
KWA HISANI YA FATHER KIDEVU BLOG

No comments: