WANACHUO wa Chuo cha Ualimu Vikindu mkoani Pwani wamelalamikia utaratibu mbovu uliopo chuoni hapo wakati wa kugawa chakula japo bado uongozi wa chuo hicho umelifumbia macho suala hilo.
Kila ufikapo muda wa chakula wanachuo hulazimika kugombea chakula na kupelekea vurugu kutokea kitendo kinachosababisha baadhi yao kukosa mlo.
Picha na Global Publishers
No comments:
Post a Comment