Social Icons

Monday 23 April 2012

VURUGU CHUO CHA MKWAWA ZAENDELEA FFU NUSURU WACHEZEE KICHAPO


Askari wa FFU Iringa akiwatuliza wanafunzi wa chuo cha Mkwawa Iringa wasilipige mawe gari la msajili wa Mahakama kanda ya Iringa kwa madai halihusiki

Hapa askari zaidi wakiruka katika gari hilo ili kunusuru maisha ya dereva na msajili baada ya kuvamiwa na wanafunzi hao wakati akitoka maeneo ya Pawaga 





Wanafunzi na wananchi wakiwa wamezunguka gari la msajili wa Mahakama kanda ya Iringa Philimon Matogoro 


hapa wakishangilia baada ya askari kuondoka eneo la tukio 

Gari la Msajili wa mahakama kanda ya Iringa likiwa limezuiwa
Kijana wa CCM akimwokoa diwani Kikulacho baada ya jitihada za kuwaomba wanafunzi hao wasifanye fujo kugonga mwamba
Diwani Kikulacho akijiandaa kutimua mbio baada ya wanafunzi kuchachamaa
Diwani akiokolewa asichezee kichapo
Picha na Francis Godwin

No comments: