Social Icons

Saturday 22 September 2012

KILIO CHA WANAFUNZI WANAOJIUNGA NA CHUO KIKUU CHA DODOMA



 


Salaam,
tafadhali tusaidie sisi wanafunzi wa Mwaka wa kwanza tuliochaguliwa kujiunga na Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) ambao hadi leo hatujapata Admission Letters zetu hadi hii leo na Baadhi tunatakiwa tuzitumie hizo kuombea ruhusa makazini hasa wafanyakazi wa Serikali, je tunafanyaje na UDOM waliweka tangazo hili hapa chini wiki ya ya pili na zaidi sasa.

Tunashangaa barua hazitoki ilhali TCU wao wamesha toa majina ya watakao jiunga hapo na hata Bodi ya Mikopo nayo imetoa majina.

Tunaomba tupatiwe barua zetu maana Chuo karibia kinafunguliwa kwa sisi wa 1styear.

Admission Letters For First Year Students for Academic Year 2012/2013

Announcement to All first year Students for Acadmic Year 2012/2013
Be Informed that If your Name Do not appear on the List of Selected Students Published on UDOM website, you will not be able to Download your Admission Letter. For Second batch and Equivalent Students the list of Selected Students will be publised at Mid the Next Week.
For those who their Names Appears on the List, The admission Letters are Downloaded on the following Link, Please make sure you Read the Instructions.

NAWASILISHA


No comments: