Social Icons

Saturday 18 November 2017

MWIGULU NCHEMBA AHITIMU SHAHADA YA UZAMIVU (PHD) UDSM

Kwa wanavyuo wote watanzania popote Duniani Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. insta : @matukionawanavyuo Tumieni mtandao huu ni wenu nyote.  

Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba akiwa amepozi baada ya kumaliza hafla ya utoaji shahada hiyo.

Waziri Nchemba akiwa katika picha ya pamoja na mtoto.
Waziri Nchemba akiteta jambo na wahitimu wenzake.
WAZIRI wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba leo amehitimu Shahada ya Uzamivu (PHD) ya Uchumi kwenye Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam (UDSM) ambapo mahafali hayo yalifanyika kwenye Ukumbi wa Mlimani City, Dar. Mahafali hayo yalihudhuriwa na mkuu wa chuo hicho ambaye ni rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Mrisho Kikwete.

No comments: