Social Icons

Thursday 21 July 2016

Ufunguzi wa maonesho ya 11 ya vyuo vikuu Sayansi na Teknolojia

Kwa wanavyuo wote watanzania popote Duniani Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255629914471. insta : @matukionawanavyuo Tumieni mtandao huu ni wenu nyote. 

Waziri wa Elimu , Sayansi , teknolojia na mafunzo ya  Ufundi Prof. Joyce Ndalichako akiongea na wadau kutoka Vyuo Vikuu mbalimbali nchini hawapo pichani  hiko wakati wa ufunguzi wa wa maonesho ya 11 ya elimu ya juu , sayansi na teknolojia leo jijini Dar es salaam.
 

No comments: