Social Icons

Monday 15 June 2015

Wanafunzi wa FEZA watembelea uwakilishi wa kudumu UN

Kwa wanavyuo wote watanzania popote Duniani Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. Tumieni mtandao huu ni wenu nyote. 


Pichani ni Baadhi ya Wanafuzi wa Shule ya Feza Tanzania na viongozi wao ambao wapo hapa Marekani kwa ziara ya mafunzo walipata nafasi ya kufika katika uwakilishi wa kudumu wa Tanzania na walibadilishana mawazo na Naibu Mwakilishi wa Kudumu, Balozi Ramadhan Mwinyi.
Bi. Monica Otavu, Wakili wa Serikali Mkuu, akizungumza wakati wa Mkutano wa 25 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Sheria ya Bahari. Katika Mkutano huo wa wiki moja pamoja na masuala mengine, wajumbe walitambua na kupongeza mchango mkubwa unaofanywa na vyombo vinavyoundwa na Mkataba huo . Vyombo hivyo ni Mahakama ya Migogoro ya Bahari , Kamisheni ya mwambao wa Bahari ( Commission on Limits of Continental Shelf), na Mamlaka ya Kimataifa chini ya Bahari ( International Seabed Authority

No comments: