Social Icons

Thursday 26 March 2015

WANAFUNZI WA CHUO CHA UTUMISHI WA UMA MBEYA MAFUNZONI BUNGENI DODOMA HII LEO


WANAFUNZI 97 kutoka Chuo cha Utumishi wa Umma, Tawi la Mbeya, leo wapo Bungeni mjini Dodoma kwa ziara ya kimafunzo. Wanafunzi hao wanaosomea fani mbalimbali zikiwepo utunzaji kumbukumbu na makatibu Muktasi watajifunza vitu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kujioenea moja kwa moja namna shughuli za Bunge zinavyofanyika. 
Wanafunzi wakifuatilia mjadala kwa umakini.
Mhadhiri na Kiongozi wa Chuo hicho, Johnson Mbuluma (kulia) akiwa na wanafunzi wake wakifuatilia shughuli mbalimbali za Bunge mjini Dodoma hii leo.
Wanafunzi hao wakiwa Bungeni wakifuatilia mijadala hiyo mbalimbali na kipindi cha maswali na majibu.

Wanafunzi mbalimbali hutembelea Bungeni kwa ajili ya mafunzo na pia makundi mbalimbali katika Jamii. Father Kidevu

Kwa wanavyuo wote watanzania popote Duniani Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. Tumieni mtandao huu ni wenu nyote.

No comments: